×

Ndio hivyo! Na anayetukuza ibada za Mwenyezi Mungu, basi hayo ni katika 22:32 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-hajj ⮕ (22:32) ayat 32 in Swahili

22:32 Surah Al-hajj ayat 32 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-hajj ayat 32 - الحج - Page - Juz 17

﴿ذَٰلِكَۖ وَمَن يُعَظِّمۡ شَعَٰٓئِرَ ٱللَّهِ فَإِنَّهَا مِن تَقۡوَى ٱلۡقُلُوبِ ﴾
[الحج: 32]

Ndio hivyo! Na anayetukuza ibada za Mwenyezi Mungu, basi hayo ni katika unyenyekevu wa nyoyo

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ذلك ومن يعظم شعائر الله فإنها من تقوى القلوب, باللغة السواحيلية

﴿ذلك ومن يعظم شعائر الله فإنها من تقوى القلوب﴾ [الحج: 32]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hayo ndiyo Aliyoyaamrisha Mwenyezi Mungu ya kumpwekesha na kumtakasia ibada. Na yoyote mwenye kutekeleza amri ya Mwenyezi Mungu na akayatukuza mambo makubwa ya Dini, na miongoni mwayo ni matendo ya Hija na sehemu zake na wanyama wanaochinjwa huko, kwa kuchagua walio wazuri na walio wanono, basi kutukuza huko ni katika vitendo vya wenye nyoyo zenye kusifika kwa kumcha Mwenyezi Mungu na kumuogopa
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek