×

Ili Mwenyezi Mungu awalipe bora ya waliyo yatenda, na awazidishie katika fadhila 24:38 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah An-Nur ⮕ (24:38) ayat 38 in Swahili

24:38 Surah An-Nur ayat 38 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah An-Nur ayat 38 - النور - Page - Juz 18

﴿لِيَجۡزِيَهُمُ ٱللَّهُ أَحۡسَنَ مَا عَمِلُواْ وَيَزِيدَهُم مِّن فَضۡلِهِۦۗ وَٱللَّهُ يَرۡزُقُ مَن يَشَآءُ بِغَيۡرِ حِسَابٖ ﴾
[النور: 38]

Ili Mwenyezi Mungu awalipe bora ya waliyo yatenda, na awazidishie katika fadhila zake. Na Mwenyezi Mungu humruzuku amtakaye bila ya hisabu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ليجزيهم الله أحسن ما عملوا ويزيدهم من فضله والله يرزق من يشاء, باللغة السواحيلية

﴿ليجزيهم الله أحسن ما عملوا ويزيدهم من فضله والله يرزق من يشاء﴾ [النور: 38]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Ili Mwenyezi Mungu Awape malipo mema ya matendo yao mazuri zaidi na Awaongezee kutokana na wema Wake. Na Mwenyezi Mungu Anamruzuku Anayemtaka bila kumhesabia, bali Anampa malipo ambayo matendo yake mema hayakuyafikia, na pasi na hesabu wala kipimo
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek