×

Tunge penda tungeli wateremshia kutoka mbinguni Ishara zikanyenyekea shingo zao 26:4 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Ash-Shu‘ara’ ⮕ (26:4) ayat 4 in Swahili

26:4 Surah Ash-Shu‘ara’ ayat 4 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Ash-Shu‘ara’ ayat 4 - الشعراء - Page - Juz 19

﴿إِن نَّشَأۡ نُنَزِّلۡ عَلَيۡهِم مِّنَ ٱلسَّمَآءِ ءَايَةٗ فَظَلَّتۡ أَعۡنَٰقُهُمۡ لَهَا خَٰضِعِينَ ﴾
[الشعراء: 4]

Tunge penda tungeli wateremshia kutoka mbinguni Ishara zikanyenyekea shingo zao

❮ Previous Next ❯

ترجمة: إن نشأ ننـزل عليهم من السماء آية فظلت أعناقهم لها خاضعين, باللغة السواحيلية

﴿إن نشأ ننـزل عليهم من السماء آية فظلت أعناقهم لها خاضعين﴾ [الشعراء: 4]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Tukitaka tutawateremshia wakanushaji, miongoni mwa watu wako, miujiza itokayo mbinguni yenye kuwaogopesha itakayowalazimisha wao kuamini, na hapo shingo zao ziwe zimenyongeka na kudhalilika. Lakini hatukutaka hilo, kwani Imani yenye kunufaisha ni kuyaamini yaliyoghibu kwa hiyari
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek