×

Na alikusanyiwa Sulaiman majeshi yake ya majini, na watu, na ndege; nayo 27:17 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah An-Naml ⮕ (27:17) ayat 17 in Swahili

27:17 Surah An-Naml ayat 17 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah An-Naml ayat 17 - النَّمل - Page - Juz 19

﴿وَحُشِرَ لِسُلَيۡمَٰنَ جُنُودُهُۥ مِنَ ٱلۡجِنِّ وَٱلۡإِنسِ وَٱلطَّيۡرِ فَهُمۡ يُوزَعُونَ ﴾
[النَّمل: 17]

Na alikusanyiwa Sulaiman majeshi yake ya majini, na watu, na ndege; nayo yakapangwa kwa nidhamu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وحشر لسليمان جنوده من الجن والإنس والطير فهم يوزعون, باللغة السواحيلية

﴿وحشر لسليمان جنوده من الجن والإنس والطير فهم يوزعون﴾ [النَّمل: 17]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na akakusanyiwa Sulaymān askari wake miongoni mwa majini, binadamu na ndege katika matembezi yao. Na wao, pamoja na wingi wao, hawakua wamepuuzwa, bali palikuwa, juu ya kila jinsi, mwenye kuwasimamia wa mwanzo wao kwa wa mwisho wao ili wasimame wote wakiwa wamejipanga
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek