×

Basi hizo nyumba zao ni tupu kwa sababu ya walivyo dhulumu. Hakika 27:52 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah An-Naml ⮕ (27:52) ayat 52 in Swahili

27:52 Surah An-Naml ayat 52 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah An-Naml ayat 52 - النَّمل - Page - Juz 19

﴿فَتِلۡكَ بُيُوتُهُمۡ خَاوِيَةَۢ بِمَا ظَلَمُوٓاْۚ إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَأٓيَةٗ لِّقَوۡمٖ يَعۡلَمُونَ ﴾
[النَّمل: 52]

Basi hizo nyumba zao ni tupu kwa sababu ya walivyo dhulumu. Hakika bila ya shaka katika hayo ipo Ishara kwa watu wanao jua

❮ Previous Next ❯

ترجمة: فتلك بيوتهم خاوية بما ظلموا إن في ذلك لآية لقوم يعلمون, باللغة السواحيلية

﴿فتلك بيوتهم خاوية بما ظلموا إن في ذلك لآية لقوم يعلمون﴾ [النَّمل: 52]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hayo ni makazi yao, yako matupu, hakuna yoyote ndani yake. Mwenyezi Mungu Amewaangamiza kwa sababu ya wao kuzidhulumu nafsi zao kwa ushirikina na kumkanusha Nabii wao. Kwa kweli, katika uvunjaji huo na uangamizaji pana mawaidha kwa watu wanaokijua kile tulichowafanya. Na huu ndio mwendo wetu kwa wenye kuwakanusha Mitume
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek