×

Basi alipo fika ilinadiwa: Amebarikiwa aliomo katika moto huu na walioko pembezoni 27:8 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah An-Naml ⮕ (27:8) ayat 8 in Swahili

27:8 Surah An-Naml ayat 8 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah An-Naml ayat 8 - النَّمل - Page - Juz 19

﴿فَلَمَّا جَآءَهَا نُودِيَ أَنۢ بُورِكَ مَن فِي ٱلنَّارِ وَمَنۡ حَوۡلَهَا وَسُبۡحَٰنَ ٱللَّهِ رَبِّ ٱلۡعَٰلَمِينَ ﴾
[النَّمل: 8]

Basi alipo fika ilinadiwa: Amebarikiwa aliomo katika moto huu na walioko pembezoni mwake. Na ametakasika Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa walimwengu wote

❮ Previous Next ❯

ترجمة: فلما جاءها نودي أن بورك من في النار ومن حولها وسبحان الله, باللغة السواحيلية

﴿فلما جاءها نودي أن بورك من في النار ومن حولها وسبحان الله﴾ [النَّمل: 8]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Mūsā alipoujia moto, Mola wake Alimwita na akampa habari kwamba hapa ni mahali Alipopatakasa Mwenyezi Mungu na Akapabariki na Akapafanya ni mahali pa kusema na Mūsā na kumtumiliza, na kwamba Mwenyezi Mungu Amewabariki waliopo motoni na waliopo pambizoni mwake miongoni mwa Malaika, na kumtakasa Mwenyezi Mungu, Mola wa viumbe, kwa kumuepusha na sifa zisizonasibiana na Yeye
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek