×

Basi haikuwa jawabu ya watu wake ila ni kusema: Muuweni au mchomeni 29:24 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-‘Ankabut ⮕ (29:24) ayat 24 in Swahili

29:24 Surah Al-‘Ankabut ayat 24 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-‘Ankabut ayat 24 - العَنكبُوت - Page - Juz 20

﴿فَمَا كَانَ جَوَابَ قَوۡمِهِۦٓ إِلَّآ أَن قَالُواْ ٱقۡتُلُوهُ أَوۡ حَرِّقُوهُ فَأَنجَىٰهُ ٱللَّهُ مِنَ ٱلنَّارِۚ إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَأٓيَٰتٖ لِّقَوۡمٖ يُؤۡمِنُونَ ﴾
[العَنكبُوت: 24]

Basi haikuwa jawabu ya watu wake ila ni kusema: Muuweni au mchomeni moto! Mwenyezi Mungu akamwokoa na moto. Hakika katika hayo zipo Ishara kwa watu wanao amini

❮ Previous Next ❯

ترجمة: فما كان جواب قومه إلا أن قالوا اقتلوه أو حرقوه فأنجاه الله, باللغة السواحيلية

﴿فما كان جواب قومه إلا أن قالوا اقتلوه أو حرقوه فأنجاه الله﴾ [العَنكبُوت: 24]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Basi jawabu ya watu wa Ibrāhīm haikuwa isipokuwa ni kuambiana wao kwa wao, «Muueni au mchomeni kwa moto!» Wakamtupa motoni, na Mwenyezi Mungu Akamuokoa nao, na akaufanya kuwa ni baridi na salama kwake. Hakika katika kumuokoa kwetu Ibrāhīm kutokana na moto pana dalili na hoja kwa watu wanaomuamini Mwenyezi Mungu na kufanya matendo yanayoambatana na Sheria Yake
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek