×

Walio mwitikia Mwenyezi Mungu na Mtume baada ya kwisha patwa na majaraha 3:172 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah al-‘Imran ⮕ (3:172) ayat 172 in Swahili

3:172 Surah al-‘Imran ayat 172 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah al-‘Imran ayat 172 - آل عِمران - Page - Juz 4

﴿ٱلَّذِينَ ٱسۡتَجَابُواْ لِلَّهِ وَٱلرَّسُولِ مِنۢ بَعۡدِ مَآ أَصَابَهُمُ ٱلۡقَرۡحُۚ لِلَّذِينَ أَحۡسَنُواْ مِنۡهُمۡ وَٱتَّقَوۡاْ أَجۡرٌ عَظِيمٌ ﴾
[آل عِمران: 172]

Walio mwitikia Mwenyezi Mungu na Mtume baada ya kwisha patwa na majaraha - kwa walio fanya wema miongoni mwao na wakamchamngu utakuwa ujira mkubwa

❮ Previous Next ❯

ترجمة: الذين استجابوا لله والرسول من بعد ما أصابهم القرح للذين أحسنوا منهم, باللغة السواحيلية

﴿الذين استجابوا لله والرسول من بعد ما أصابهم القرح للذين أحسنوا منهم﴾ [آل عِمران: 172]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Wale waliouitikia mwito wa Mwenyezi Mungu na Mtume wake na wakatoka kuwafuata washirikina mpaka kijiji cha Ḥamrā’ al-Asad baada ya kushindwa katika vita vya Uḥud, pamoja na maumivu na majaraha waliyokuwa nayo, wakafanya upeo wa juhudi zao na wakashikamana na mwongozo wa Mtume wao, basi watenda wema hao na wacha-Mungu hao watapata thawabu kubwa
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek