×

Wala hawatakuwa na waombezi miongoni mwa walio kuwa wakiwashirikisha na Mungu; na 30:13 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Ar-Rum ⮕ (30:13) ayat 13 in Swahili

30:13 Surah Ar-Rum ayat 13 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Ar-Rum ayat 13 - الرُّوم - Page - Juz 21

﴿وَلَمۡ يَكُن لَّهُم مِّن شُرَكَآئِهِمۡ شُفَعَٰٓؤُاْ وَكَانُواْ بِشُرَكَآئِهِمۡ كَٰفِرِينَ ﴾
[الرُّوم: 13]

Wala hawatakuwa na waombezi miongoni mwa walio kuwa wakiwashirikisha na Mungu; na wao wenyewe watawakataa hao washirikishwa wao

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ولم يكن لهم من شركائهم شفعاء وكانوا بشركائهم كافرين, باللغة السواحيلية

﴿ولم يكن لهم من شركائهم شفعاء وكانوا بشركائهم كافرين﴾ [الرُّوم: 13]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na washirikina , Siku hiyo, hawatokuwa na waombezi kati ya waungu wao waliokuwa wakiwaabudu badala ya Mwenyezi Mungu, bali wao, hao waungu, watajiepusha nao na wao watajiepusha nao. Maombezi ni ya Mwenyezi Mungu Peke Yake, na hayatafutwi kutoka kwa mwingine
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek