×

Katika miaka michache. Amri ni ya Mwenyezi Mungu kabla yake na baada 30:4 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Ar-Rum ⮕ (30:4) ayat 4 in Swahili

30:4 Surah Ar-Rum ayat 4 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Ar-Rum ayat 4 - الرُّوم - Page - Juz 21

﴿فِي بِضۡعِ سِنِينَۗ لِلَّهِ ٱلۡأَمۡرُ مِن قَبۡلُ وَمِنۢ بَعۡدُۚ وَيَوۡمَئِذٖ يَفۡرَحُ ٱلۡمُؤۡمِنُونَ ﴾
[الرُّوم: 4]

Katika miaka michache. Amri ni ya Mwenyezi Mungu kabla yake na baada yake. Na siku hiyo Waumini watafurahi

❮ Previous Next ❯

ترجمة: في بضع سنين لله الأمر من قبل ومن بعد ويومئذ يفرح المؤمنون, باللغة السواحيلية

﴿في بضع سنين لله الأمر من قبل ومن بعد ويومئذ يفرح المؤمنون﴾ [الرُّوم: 4]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
katika kipindi kisichopita miaka kumi na kisichopungua miaka mitatu. Ni ya Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka na kuwa juu, amri yote kabla ya ushindi wa Warumi na baada yake. Na siku hiyo ambayo Warumi watapata ushindi juu ya Wafursi Waumini wataifurahia nusura ya Mwenyezi Mungu kwa Warumi juu ya Wafursi
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek