×

Anapitisha mambo yote yalio baina mbingu na ardhi, kisha yanapanda kwake kwa 32:5 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah As-Sajdah ⮕ (32:5) ayat 5 in Swahili

32:5 Surah As-Sajdah ayat 5 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah As-Sajdah ayat 5 - السَّجدة - Page - Juz 21

﴿يُدَبِّرُ ٱلۡأَمۡرَ مِنَ ٱلسَّمَآءِ إِلَى ٱلۡأَرۡضِ ثُمَّ يَعۡرُجُ إِلَيۡهِ فِي يَوۡمٖ كَانَ مِقۡدَارُهُۥٓ أَلۡفَ سَنَةٖ مِّمَّا تَعُدُّونَ ﴾
[السَّجدة: 5]

Anapitisha mambo yote yalio baina mbingu na ardhi, kisha yanapanda kwake kwa siku ambayo kipimo chake ni miaka elfu kwa mnavyo hisabu nyinyi

❮ Previous Next ❯

ترجمة: يدبر الأمر من السماء إلى الأرض ثم يعرج إليه في يوم كان, باللغة السواحيلية

﴿يدبر الأمر من السماء إلى الأرض ثم يعرج إليه في يوم كان﴾ [السَّجدة: 5]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, Anaendesha mambo ya viumbe kutoka mbinguni hadi ardhini, kisha mambo hayo yanapanda kwa Mwenyezi Mungu pamoja na mapelekesho kwa kipindi cha siku moja ambayo kadiri yake ni miaka elfu moja ya siku za duniani mnazozihesabu
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek