×

Ili (Mwenyezi Mungu) awaulize wakweli juu ya ukweli wao. Na amewaandalia makafiri 33:8 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Ahzab ⮕ (33:8) ayat 8 in Swahili

33:8 Surah Al-Ahzab ayat 8 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Ahzab ayat 8 - الأحزَاب - Page - Juz 21

﴿لِّيَسۡـَٔلَ ٱلصَّٰدِقِينَ عَن صِدۡقِهِمۡۚ وَأَعَدَّ لِلۡكَٰفِرِينَ عَذَابًا أَلِيمٗا ﴾
[الأحزَاب: 8]

Ili (Mwenyezi Mungu) awaulize wakweli juu ya ukweli wao. Na amewaandalia makafiri adhabu chungu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ليسأل الصادقين عن صدقهم وأعد للكافرين عذابا أليما, باللغة السواحيلية

﴿ليسأل الصادقين عن صدقهم وأعد للكافرين عذابا أليما﴾ [الأحزَاب: 8]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Mwenyezi Mungu Alichukua ahadi hiyo kutoka kwa Mitume hao, ili Apate kuwauliza waliotumwa vile walivyojibiwa na ummah wao, ili Mwenyezi Mungu Awalipe Pepo wenye kuamini. Na Amewaandalia makafiri, Siku ya Kiyama, adhabu kali ndani ya Jahanamu
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek