×

Ati yeye tu ndiye aliye teremshiwa mawaidha peke yake katika sisi? Lakini 38:8 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah sad ⮕ (38:8) ayat 8 in Swahili

38:8 Surah sad ayat 8 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah sad ayat 8 - صٓ - Page - Juz 23

﴿أَءُنزِلَ عَلَيۡهِ ٱلذِّكۡرُ مِنۢ بَيۡنِنَاۚ بَلۡ هُمۡ فِي شَكّٖ مِّن ذِكۡرِيۚ بَل لَّمَّا يَذُوقُواْ عَذَابِ ﴾
[صٓ: 8]

Ati yeye tu ndiye aliye teremshiwa mawaidha peke yake katika sisi? Lakini hao wana shaka na mawaidha yangu, bali hawajaionja adhabu yangu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: أؤنـزل عليه الذكر من بيننا بل هم في شك من ذكري بل, باللغة السواحيلية

﴿أؤنـزل عليه الذكر من بيننا بل هم في شك من ذكري بل﴾ [صٓ: 8]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
«Je, amehusishwa Muhammad peke yake kwa kuteremshiwa Qur’ani bila ya sisi?» Bali wao wako kwenye shaka ya kuwa mimi nimekuletea wahyi wewe, ewe Mtume, na kukupa utume. Bali wao walisema hilo kwa kuwa hawajaonja adhabu ya Mwenyezi Mungu, na lau wangaliionja adhabu hawangalithubutu kusema waliyosema
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek