×

Mwenye kusaidia msaada mwema ana fungu lake katika hayo, na mwenye kusaidia 4:85 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah An-Nisa’ ⮕ (4:85) ayat 85 in Swahili

4:85 Surah An-Nisa’ ayat 85 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah An-Nisa’ ayat 85 - النِّسَاء - Page - Juz 5

﴿مَّن يَشۡفَعۡ شَفَٰعَةً حَسَنَةٗ يَكُن لَّهُۥ نَصِيبٞ مِّنۡهَاۖ وَمَن يَشۡفَعۡ شَفَٰعَةٗ سَيِّئَةٗ يَكُن لَّهُۥ كِفۡلٞ مِّنۡهَاۗ وَكَانَ ٱللَّهُ عَلَىٰ كُلِّ شَيۡءٖ مُّقِيتٗا ﴾
[النِّسَاء: 85]

Mwenye kusaidia msaada mwema ana fungu lake katika hayo, na mwenye kusaidia msaada mwovu naye ana sehemu yake katika hayo. Na hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye uweza na ujuzi juu ya kila kitu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: من يشفع شفاعة حسنة يكن له نصيب منها ومن يشفع شفاعة سيئة, باللغة السواحيلية

﴿من يشفع شفاعة حسنة يكن له نصيب منها ومن يشفع شفاعة سيئة﴾ [النِّسَاء: 85]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Mwenye kumshughulikia mwingine apate mema, atapata fungu la thawabu kwa huko kuingilila kwake kati. Na mwenye kujishughulisha juu ya kumdhuru mwingine, Atapata fungu la mzigo wa dhambi. Na Mwenyezi Mungu ni Shahidi na ni Mtunzi wa kila jambo
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek