×

Na mnapo amkiwa kwa maamkio yoyote, basi nanyi itikieni kwa yaliyo bora 4:86 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah An-Nisa’ ⮕ (4:86) ayat 86 in Swahili

4:86 Surah An-Nisa’ ayat 86 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah An-Nisa’ ayat 86 - النِّسَاء - Page - Juz 5

﴿وَإِذَا حُيِّيتُم بِتَحِيَّةٖ فَحَيُّواْ بِأَحۡسَنَ مِنۡهَآ أَوۡ رُدُّوهَآۗ إِنَّ ٱللَّهَ كَانَ عَلَىٰ كُلِّ شَيۡءٍ حَسِيبًا ﴾
[النِّسَاء: 86]

Na mnapo amkiwa kwa maamkio yoyote, basi nanyi itikieni kwa yaliyo bora kuliko hayo, au rejesheni hayo hayo. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuhisabu kila kitu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وإذا حييتم بتحية فحيوا بأحسن منها أو ردوها إن الله كان على, باللغة السواحيلية

﴿وإذا حييتم بتحية فحيوا بأحسن منها أو ردوها إن الله كان على﴾ [النِّسَاء: 86]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na Muislamu akiwatolea salamu, muitikieni kwa maneno mazuri zaidi na kwa furaha zaidi, au muitikieni salamu kama vile alivyowatolea. Na kila mmoja ana thawabu zake na malipo yake. Hakika Mwenyezi Mungu Aliyetukuka ni Mwneye kulipa kwa kila kitu (mnachokifanya)
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek