×

Mfano wa hali ya watu wa Nuhu na A'di na Thamudi na 40:31 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Ghafir ⮕ (40:31) ayat 31 in Swahili

40:31 Surah Ghafir ayat 31 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Ghafir ayat 31 - غَافِر - Page - Juz 24

﴿مِثۡلَ دَأۡبِ قَوۡمِ نُوحٖ وَعَادٖ وَثَمُودَ وَٱلَّذِينَ مِنۢ بَعۡدِهِمۡۚ وَمَا ٱللَّهُ يُرِيدُ ظُلۡمٗا لِّلۡعِبَادِ ﴾
[غَافِر: 31]

Mfano wa hali ya watu wa Nuhu na A'di na Thamudi na wale wa baada yao. Na Mwenyezi Mungu hataki kuwadhulumu waja

❮ Previous Next ❯

ترجمة: مثل دأب قوم نوح وعاد وثمود والذين من بعدهم وما الله يريد, باللغة السواحيلية

﴿مثل دأب قوم نوح وعاد وثمود والذين من بعدهم وما الله يريد﴾ [غَافِر: 31]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
«Mfano wa mwenendo wa watu wa Nūḥ, 'Ād, Thamūd na waliokuja baada yao katika ukafiri na ukanushaji, ambao Mwenyezi Mungu Aliwaangamiza kwa sababu ya hilo. Na Mwenyezi Mungu, Aliyetakasika, Hataki kuwafanyia maonevu waja, Akawa Atawaadhibu bila dhambi walilolitenda. Mwenyezi Mungu Yuko juu sana mno kwa kujiepusha na maonevu na upungufu
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek