×

Na akasema yule aliye amini: Enyi watu wangu! Hakika mimi nakukhofieni mfano 40:30 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Ghafir ⮕ (40:30) ayat 30 in Swahili

40:30 Surah Ghafir ayat 30 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Ghafir ayat 30 - غَافِر - Page - Juz 24

﴿وَقَالَ ٱلَّذِيٓ ءَامَنَ يَٰقَوۡمِ إِنِّيٓ أَخَافُ عَلَيۡكُم مِّثۡلَ يَوۡمِ ٱلۡأَحۡزَابِ ﴾
[غَافِر: 30]

Na akasema yule aliye amini: Enyi watu wangu! Hakika mimi nakukhofieni mfano wa siku za makundi

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وقال الذي آمن ياقوم إني أخاف عليكم مثل يوم الأحزاب, باللغة السواحيلية

﴿وقال الذي آمن ياقوم إني أخاف عليكم مثل يوم الأحزاب﴾ [غَافِر: 30]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na akasema yule Aliyeamini katika jamaa za Fir’awn kumwambia Fir’awn na viongozi wa mamlaka yake kwa kuwapa ushauri na kuwaonya, «Mimi ninawaogopea mkimuua Mūsā mfano wa siku ya makundi yaliyojikusanya dhidi ya manabii wao
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek