×

Basi mbona wale walio washika badala ya Mwenyezi Mungu, kuwa ati hao 46:28 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Ahqaf ⮕ (46:28) ayat 28 in Swahili

46:28 Surah Al-Ahqaf ayat 28 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Ahqaf ayat 28 - الأحقَاف - Page - Juz 26

﴿فَلَوۡلَا نَصَرَهُمُ ٱلَّذِينَ ٱتَّخَذُواْ مِن دُونِ ٱللَّهِ قُرۡبَانًا ءَالِهَةَۢۖ بَلۡ ضَلُّواْ عَنۡهُمۡۚ وَذَٰلِكَ إِفۡكُهُمۡ وَمَا كَانُواْ يَفۡتَرُونَ ﴾
[الأحقَاف: 28]

Basi mbona wale walio washika badala ya Mwenyezi Mungu, kuwa ati hao ndio wawakurubishe, hawakuwanusuru? Bali waliwapotea! Na huo ndio uwongo walio kuwa wakiuzua

❮ Previous Next ❯

ترجمة: فلولا نصرهم الذين اتخذوا من دون الله قربانا آلهة بل ضلوا عنهم, باللغة السواحيلية

﴿فلولا نصرهم الذين اتخذوا من دون الله قربانا آلهة بل ضلوا عنهم﴾ [الأحقَاف: 28]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Basi si wangaliwasaidia wao, hao tuliowaangamiza miongoni mwa ummah waliopita, waungu wao ambao walichukua kule kuwaabudu ni ibada ya wao kujikurubisha kwa Mola wao, ili wawaombee mbele Yake. Lakini waungu wao waliwapotea, hawakuwaitikia wala hawakuwatetea. Huo ni urongo wao tu na uzushi walioupanga wa kuwafanya wao ni waungu
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek