×

Je! Mwenye kuwa na bayana kutoka kwa Mola wake Mlezi ni kama 47:14 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Muhammad ⮕ (47:14) ayat 14 in Swahili

47:14 Surah Muhammad ayat 14 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Muhammad ayat 14 - مُحمد - Page - Juz 26

﴿أَفَمَن كَانَ عَلَىٰ بَيِّنَةٖ مِّن رَّبِّهِۦ كَمَن زُيِّنَ لَهُۥ سُوٓءُ عَمَلِهِۦ وَٱتَّبَعُوٓاْ أَهۡوَآءَهُم ﴾
[مُحمد: 14]

Je! Mwenye kuwa na bayana kutoka kwa Mola wake Mlezi ni kama aliye pambiwa uovu wa vitendo vyake, na wakafuata pumbao lao

❮ Previous Next ❯

ترجمة: أفمن كان على بينة من ربه كمن زين له سوء عمله واتبعوا, باللغة السواحيلية

﴿أفمن كان على بينة من ربه كمن زين له سوء عمله واتبعوا﴾ [مُحمد: 14]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Je yule aliyekuwa na ushahidi ulio wazi kutoka kwa Mwenyezi Mungu na ujuzi kuwa Yeye ni Mmoja, ni kama yule ambaye Shetani amempambia matendo yake maovu na akafuata yale ambayo nafsi yake ilimuita iyafuate ya kumuasi Mwenyezi Mungu na kumuabudu asiyekuwa Yeye bila ya hoja wala ushahidi? Hawalingani
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek