×

Na miji mingapi iliyo kuwa na nguvu zaidi kuliko mji wako huu 47:13 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Muhammad ⮕ (47:13) ayat 13 in Swahili

47:13 Surah Muhammad ayat 13 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Muhammad ayat 13 - مُحمد - Page - Juz 26

﴿وَكَأَيِّن مِّن قَرۡيَةٍ هِيَ أَشَدُّ قُوَّةٗ مِّن قَرۡيَتِكَ ٱلَّتِيٓ أَخۡرَجَتۡكَ أَهۡلَكۡنَٰهُمۡ فَلَا نَاصِرَ لَهُمۡ ﴾
[مُحمد: 13]

Na miji mingapi iliyo kuwa na nguvu zaidi kuliko mji wako huu ulio kutoa; nao tuliwateketeza na wala hawakuwa wa kuwanusuru

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وكأين من قرية هي أشد قوة من قريتك التي أخرجتك أهلكناهم فلا, باللغة السواحيلية

﴿وكأين من قرية هي أشد قوة من قريتك التي أخرجتك أهلكناهم فلا﴾ [مُحمد: 13]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na wengi miongoni mwa watu wa mijini walikuwa wana nguvu zaidi kuliko watu wa mji wako, ewe Mtume, ambao ni Makkah, waliokutoa watu wake humo. Watu wa miji hiyo tuliwaangamiza kwa adhabu za aina mbalimbali. Hawakuwa na msaidizi wa kuwanusuru kutokana na adhabu ya Mwenyezi Mungu
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek