×

Hao ndio Mwenyezi Mungu alio walaani, na akawatia uziwi, na akawapofoa macho 47:23 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Muhammad ⮕ (47:23) ayat 23 in Swahili

47:23 Surah Muhammad ayat 23 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Muhammad ayat 23 - مُحمد - Page - Juz 26

﴿أُوْلَٰٓئِكَ ٱلَّذِينَ لَعَنَهُمُ ٱللَّهُ فَأَصَمَّهُمۡ وَأَعۡمَىٰٓ أَبۡصَٰرَهُمۡ ﴾
[مُحمد: 23]

Hao ndio Mwenyezi Mungu alio walaani, na akawatia uziwi, na akawapofoa macho yao

❮ Previous Next ❯

ترجمة: أولئك الذين لعنهم الله فأصمهم وأعمى أبصارهم, باللغة السواحيلية

﴿أولئك الذين لعنهم الله فأصمهم وأعمى أبصارهم﴾ [مُحمد: 23]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hao ndio wale ambao Mwenyezi Mungu Amewaepusha na rehema Yake Akawafanya wasiyasikie yanayowanufaisha wala wasiyaone na zisiwafunukie hoja za Mwenyezi Mungu pamoja na kuwa ni nyingi
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek