×

Hakika walio kufuru na wakazuilia njia ya Mwenyezi Mungu, kisha wakafa na 47:34 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Muhammad ⮕ (47:34) ayat 34 in Swahili

47:34 Surah Muhammad ayat 34 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Muhammad ayat 34 - مُحمد - Page - Juz 26

﴿إِنَّ ٱلَّذِينَ كَفَرُواْ وَصَدُّواْ عَن سَبِيلِ ٱللَّهِ ثُمَّ مَاتُواْ وَهُمۡ كُفَّارٞ فَلَن يَغۡفِرَ ٱللَّهُ لَهُمۡ ﴾
[مُحمد: 34]

Hakika walio kufuru na wakazuilia njia ya Mwenyezi Mungu, kisha wakafa na hali ni makafiri, Mwenyezi Mungu hatawasamehe makosa yao

❮ Previous Next ❯

ترجمة: إن الذين كفروا وصدوا عن سبيل الله ثم ماتوا وهم كفار فلن, باللغة السواحيلية

﴿إن الذين كفروا وصدوا عن سبيل الله ثم ماتوا وهم كفار فلن﴾ [مُحمد: 34]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hakika ya wale waliokataa kuwa Mwenyezi Mungu Ndiye Mola wa haki Peke Yake Asiye na mshirika na wakawazuia watu na Dini Yake, kisha wakafa wakiwa katika hali hiyo, Mwenyezi Mungu Hatawasamehe, na Atawapa adhabu ikiwa ndio mateso yao kwa ukanushaji wao, na Atawafedhehesha mbele ya halaiki ya watu
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek