×

Lakini waliikanusha Haki ilipo wajia; kwa hivyo wamo katika mambo ya mkorogo 50:5 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Qaf ⮕ (50:5) ayat 5 in Swahili

50:5 Surah Qaf ayat 5 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Qaf ayat 5 - قٓ - Page - Juz 26

﴿بَلۡ كَذَّبُواْ بِٱلۡحَقِّ لَمَّا جَآءَهُمۡ فَهُمۡ فِيٓ أَمۡرٖ مَّرِيجٍ ﴾
[قٓ: 5]

Lakini waliikanusha Haki ilipo wajia; kwa hivyo wamo katika mambo ya mkorogo

❮ Previous Next ❯

ترجمة: بل كذبوا بالحق لما جاءهم فهم في أمر مريج, باللغة السواحيلية

﴿بل كذبوا بالحق لما جاءهم فهم في أمر مريج﴾ [قٓ: 5]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Bali hawa washirikina waliikanusha Qur’ani ilipowajia. Wao wako kwenye hali ya babaiko na kuchanganyikiwa, hawasimami imara kwenye jambo lolote, na hawana kituo cha kutulia
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek