×

Macho yao yatainama; watatoka makaburini kama nzige walio tawanyika 54:7 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Qamar ⮕ (54:7) ayat 7 in Swahili

54:7 Surah Al-Qamar ayat 7 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Qamar ayat 7 - القَمَر - Page - Juz 27

﴿خُشَّعًا أَبۡصَٰرُهُمۡ يَخۡرُجُونَ مِنَ ٱلۡأَجۡدَاثِ كَأَنَّهُمۡ جَرَادٞ مُّنتَشِرٞ ﴾
[القَمَر: 7]

Macho yao yatainama; watatoka makaburini kama nzige walio tawanyika

❮ Previous Next ❯

ترجمة: خشعا أبصارهم يخرجون من الأجداث كأنهم جراد منتشر, باللغة السواحيلية

﴿خشعا أبصارهم يخرجون من الأجداث كأنهم جراد منتشر﴾ [القَمَر: 7]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hali yakuwa macho yao yamedhalilika, wanatoka makaburini kama kwamba wao kwa kuenea kwao na upesi wa kuenda kwenye kuhesabiwa, ni nzige walioenea pambizoni mwa anga
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek