×

Basi kuleni katika walio somewa jina la Mwenyezi Mungu, ikiwa mnaziamini Aya 6:118 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-An‘am ⮕ (6:118) ayat 118 in Swahili

6:118 Surah Al-An‘am ayat 118 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-An‘am ayat 118 - الأنعَام - Page - Juz 8

﴿فَكُلُواْ مِمَّا ذُكِرَ ٱسۡمُ ٱللَّهِ عَلَيۡهِ إِن كُنتُم بِـَٔايَٰتِهِۦ مُؤۡمِنِينَ ﴾
[الأنعَام: 118]

Basi kuleni katika walio somewa jina la Mwenyezi Mungu, ikiwa mnaziamini Aya zake

❮ Previous Next ❯

ترجمة: فكلوا مما ذكر اسم الله عليه إن كنتم بآياته مؤمنين, باللغة السواحيلية

﴿فكلوا مما ذكر اسم الله عليه إن كنتم بآياته مؤمنين﴾ [الأنعَام: 118]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Basi kuleni, kati ya wanyama waliochinjwa, wale ambao jina la Mwenyezi Mungu lilitajwa wakati wa kuchinjwa, iwapo nyinyi mnaziamini hoja za Mwenyezi Mungu, aliyetukuka, zilizo wazi
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek