×

Hayo ni kwa sababu ya kuwa Mola wako Mlezi hakuwa wa kuiangamiza 6:131 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-An‘am ⮕ (6:131) ayat 131 in Swahili

6:131 Surah Al-An‘am ayat 131 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-An‘am ayat 131 - الأنعَام - Page - Juz 8

﴿ذَٰلِكَ أَن لَّمۡ يَكُن رَّبُّكَ مُهۡلِكَ ٱلۡقُرَىٰ بِظُلۡمٖ وَأَهۡلُهَا غَٰفِلُونَ ﴾
[الأنعَام: 131]

Hayo ni kwa sababu ya kuwa Mola wako Mlezi hakuwa wa kuiangamiza miji kwa dhulma, hali wenyewe wameghafilika

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ذلك أن لم يكن ربك مهلك القرى بظلم وأهلها غافلون, باللغة السواحيلية

﴿ذلك أن لم يكن ربك مهلك القرى بظلم وأهلها غافلون﴾ [الأنعَام: 131]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Ili asiadhibiwe yoyote kwa kujidhulumu nafsi yake kwa kufanya maovu na hali ulinganizi wa Uislamu haujamfikia, sisi tulituma Mitume na tukateremsha Vitabu kwa kuwaondolea majini na binadamu hoja watakayoichukua kama kisingizio. Hivyo ndivyo tulivyowaondolea hoja umma waliyopita, hatukumuadhibu yoyote isipokuwa baada ya kuwapelekea Mitume
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek