×

Afanyae wema atalipwa mfano wake mara kumi. na afanyae ubaya hatalipwa ila 6:160 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-An‘am ⮕ (6:160) ayat 160 in Swahili

6:160 Surah Al-An‘am ayat 160 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-An‘am ayat 160 - الأنعَام - Page - Juz 8

﴿مَن جَآءَ بِٱلۡحَسَنَةِ فَلَهُۥ عَشۡرُ أَمۡثَالِهَاۖ وَمَن جَآءَ بِٱلسَّيِّئَةِ فَلَا يُجۡزَىٰٓ إِلَّا مِثۡلَهَا وَهُمۡ لَا يُظۡلَمُونَ ﴾
[الأنعَام: 160]

Afanyae wema atalipwa mfano wake mara kumi. na afanyae ubaya hatalipwa ila sawa nao tu. Na wao hawatadhulumiwa

❮ Previous Next ❯

ترجمة: من جاء بالحسنة فله عشر أمثالها ومن جاء بالسيئة فلا يجزى إلا, باللغة السواحيلية

﴿من جاء بالحسنة فله عشر أمثالها ومن جاء بالسيئة فلا يجزى إلا﴾ [الأنعَام: 160]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Mwenye kukutana na Mola wake, Siku ya Kiyama, akiwa na jema moja miongoni mwa matendo mazuri, atapata mema mfano wake mara kumi. Na mwenye kukutana na Mola wake akiwa ana ovu moja, hatateswa isipokuwa kadiri ya mfano wa ovu hilo, na wao hawatadhulumiwa hata kiasi cha uzito wa chungu mdogo
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek