×

Na kama tungeli mfanya Malaika bila ya shaka tungeli mfanya kama binaadamu, 6:9 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-An‘am ⮕ (6:9) ayat 9 in Swahili

6:9 Surah Al-An‘am ayat 9 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-An‘am ayat 9 - الأنعَام - Page - Juz 7

﴿وَلَوۡ جَعَلۡنَٰهُ مَلَكٗا لَّجَعَلۡنَٰهُ رَجُلٗا وَلَلَبَسۡنَا عَلَيۡهِم مَّا يَلۡبِسُونَ ﴾
[الأنعَام: 9]

Na kama tungeli mfanya Malaika bila ya shaka tungeli mfanya kama binaadamu, na tungeli watilia matatizo yale wanayo yatatiza wao

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ولو جعلناه ملكا لجعلناه رجلا وللبسنا عليهم ما يلبسون, باللغة السواحيلية

﴿ولو جعلناه ملكا لجعلناه رجلا وللبسنا عليهم ما يلبسون﴾ [الأنعَام: 9]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na lau kama tulimfanya mtume aliyeteremshwa kwao ni Malaika, kwani hawakukinai na Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, tungalimfanya Malaika huyo kwenye sura za mwanadamu, ili waweze kumsikia na kusema naye. Kwani haimkiniki kwao kumuona Malaika katika sura zake za kimalaika. Na lau Malaika aliwajia kwa sura za mtu, jambo hilo lingaliwafanya wachanganyikiwe kama lilivyowafanya wachanganyikiwe jambo la Muhammad , rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek