×

Hakika wanao mwogopa Mola wao Mlezi kwa ghaibu, watapata maghfira na ujira 67:12 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Mulk ⮕ (67:12) ayat 12 in Swahili

67:12 Surah Al-Mulk ayat 12 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Mulk ayat 12 - المُلك - Page - Juz 29

﴿إِنَّ ٱلَّذِينَ يَخۡشَوۡنَ رَبَّهُم بِٱلۡغَيۡبِ لَهُم مَّغۡفِرَةٞ وَأَجۡرٞ كَبِيرٞ ﴾
[المُلك: 12]

Hakika wanao mwogopa Mola wao Mlezi kwa ghaibu, watapata maghfira na ujira mkubwa

❮ Previous Next ❯

ترجمة: إن الذين يخشون ربهم بالغيب لهم مغفرة وأجر كبير, باللغة السواحيلية

﴿إن الذين يخشون ربهم بالغيب لهم مغفرة وأجر كبير﴾ [المُلك: 12]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hakika wale wanaomuogopa Mola wao, wakamuabudu na wasimuasim na hali wako mbali na macho ya watu na wanaiogopa adhabu ya Akhera kabla hawajaiona, watapata msamaha wa dambi zao katoka kwa Mwenyezi Mungu na malipo mema makubwa ambayo ni Pepo
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek