×

Je, hawahidiki hawa wanao rithi ardhi baada ya wale wenyewe kwamba tukitaka 7:100 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-A‘raf ⮕ (7:100) ayat 100 in Swahili

7:100 Surah Al-A‘raf ayat 100 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-A‘raf ayat 100 - الأعرَاف - Page - Juz 9

﴿أَوَلَمۡ يَهۡدِ لِلَّذِينَ يَرِثُونَ ٱلۡأَرۡضَ مِنۢ بَعۡدِ أَهۡلِهَآ أَن لَّوۡ نَشَآءُ أَصَبۡنَٰهُم بِذُنُوبِهِمۡۚ وَنَطۡبَعُ عَلَىٰ قُلُوبِهِمۡ فَهُمۡ لَا يَسۡمَعُونَ ﴾
[الأعرَاف: 100]

Je, hawahidiki hawa wanao rithi ardhi baada ya wale wenyewe kwamba tukitaka tutawapatiliza kwa madhambi yao, na tutapiga muhuri juu ya nyoyo zao, na kwa hivyo hawatasikia

❮ Previous Next ❯

ترجمة: أو لم يهد للذين يرثون الأرض من بعد أهلها أن لو نشاء, باللغة السواحيلية

﴿أو لم يهد للذين يرثون الأرض من بعد أهلها أن لو نشاء﴾ [الأعرَاف: 100]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Kwani haikuwafunukia wale waliokaa kwenye nchi baada ya watu wake waliopita kuangamizwa kwa maasia yao, na wakafuata miendo yao, kwamba lau tunataka tungaliwaadhibu kwa makosa yao, kama tulivyowafanyia waliopita kabla yao, na kwamba tutazipiga chapa nyoyo zao, haki isiingie na wasisikie mawaidha wala makumbusho
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek