×

Na walipo juta na wakaona ya kwamba wamekwisha potea, walisema: Ikiwa Mola 7:149 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-A‘raf ⮕ (7:149) ayat 149 in Swahili

7:149 Surah Al-A‘raf ayat 149 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-A‘raf ayat 149 - الأعرَاف - Page - Juz 9

﴿وَلَمَّا سُقِطَ فِيٓ أَيۡدِيهِمۡ وَرَأَوۡاْ أَنَّهُمۡ قَدۡ ضَلُّواْ قَالُواْ لَئِن لَّمۡ يَرۡحَمۡنَا رَبُّنَا وَيَغۡفِرۡ لَنَا لَنَكُونَنَّ مِنَ ٱلۡخَٰسِرِينَ ﴾
[الأعرَاف: 149]

Na walipo juta na wakaona ya kwamba wamekwisha potea, walisema: Ikiwa Mola wetu Mlezi hakuturehemu na akatusamehe, bila ya shaka tutakuwa miongoni mwa walio khasiri

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ولما سقط في أيديهم ورأوا أنهم قد ضلوا قالوا لئن لم يرحمنا, باللغة السواحيلية

﴿ولما سقط في أيديهم ورأوا أنهم قد ضلوا قالوا لئن لم يرحمنا﴾ [الأعرَاف: 149]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na walipojuta wale walioabudu kigombe badala ya Mwenyezi Mungu pale aliporudi Mūsā kwao, na wakaona kwamba walipotea njia ya sawa, na waliondoka kwenye dini ya Mwenyezi Mungu, walianza kuukubali uja na kuomba kufutiwa makosa yao wakasema, «Mola wetu Asipoturehemu kwa kukubali toba yetu, na kufinika kwayo madhambi yetu, tutakuwa ni wenye kuangamia ambao matendo yao mema yamepita bure.»
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek