×

Na walio tenda maovu, kisha wakatubia baada yake na wakaamini, hapana shaka 7:153 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-A‘raf ⮕ (7:153) ayat 153 in Swahili

7:153 Surah Al-A‘raf ayat 153 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-A‘raf ayat 153 - الأعرَاف - Page - Juz 9

﴿وَٱلَّذِينَ عَمِلُواْ ٱلسَّيِّـَٔاتِ ثُمَّ تَابُواْ مِنۢ بَعۡدِهَا وَءَامَنُوٓاْ إِنَّ رَبَّكَ مِنۢ بَعۡدِهَا لَغَفُورٞ رَّحِيمٞ ﴾
[الأعرَاف: 153]

Na walio tenda maovu, kisha wakatubia baada yake na wakaamini, hapana shaka kuwa Mola Mlezi wako baada ya hayo ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: والذين عملوا السيئات ثم تابوا من بعدها وآمنوا إن ربك من بعدها, باللغة السواحيلية

﴿والذين عملوا السيئات ثم تابوا من بعدها وآمنوا إن ربك من بعدها﴾ [الأعرَاف: 153]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na wale waliofanya maovu ya ukafiri na maasia kisha wakarejea, baada ya kuyafanya, kwenye Imani na matendo mema, hakika Mola wako baada ya toba ya kidhati ni Msamehefu mno wa vitendo vyao viovu si Mwenye kuwafedhehi kwavyo, ni Mwenye kuwarehemu wao na kila aliye mfano wao miongoni mwa wenye kutubia
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek