×

Ndio kama hivyo tunavyo zipambanua Ishara, kwa kutaraji kuwa watarejea 7:174 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-A‘raf ⮕ (7:174) ayat 174 in Swahili

7:174 Surah Al-A‘raf ayat 174 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-A‘raf ayat 174 - الأعرَاف - Page - Juz 9

﴿وَكَذَٰلِكَ نُفَصِّلُ ٱلۡأٓيَٰتِ وَلَعَلَّهُمۡ يَرۡجِعُونَ ﴾
[الأعرَاف: 174]

Ndio kama hivyo tunavyo zipambanua Ishara, kwa kutaraji kuwa watarejea

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وكذلك نفصل الآيات ولعلهم يرجعون, باللغة السواحيلية

﴿وكذلك نفصل الآيات ولعلهم يرجعون﴾ [الأعرَاف: 174]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na kama tulivyozipambanua hizo aya na tukaeleza ndani yake tulichowafanyia watu waliopita, ndivyo tunavyozipambanua aya na kuzieleza kwa watu wako, ewe Mtume, kwa kutazamia kwamba watarudi waache ushirikina wao na warajee kwa Mola wao
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek