×

Na wasomee khabari za yule ambaye tulimpa Ishara zetu, naye akajivua nazo. 7:175 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-A‘raf ⮕ (7:175) ayat 175 in Swahili

7:175 Surah Al-A‘raf ayat 175 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-A‘raf ayat 175 - الأعرَاف - Page - Juz 9

﴿وَٱتۡلُ عَلَيۡهِمۡ نَبَأَ ٱلَّذِيٓ ءَاتَيۡنَٰهُ ءَايَٰتِنَا فَٱنسَلَخَ مِنۡهَا فَأَتۡبَعَهُ ٱلشَّيۡطَٰنُ فَكَانَ مِنَ ٱلۡغَاوِينَ ﴾
[الأعرَاف: 175]

Na wasomee khabari za yule ambaye tulimpa Ishara zetu, naye akajivua nazo. Na Shet'ani akamuandama, akawa miongoni walio potea

❮ Previous Next ❯

ترجمة: واتل عليهم نبأ الذي آتيناه آياتنا فانسلخ منها فأتبعه الشيطان فكان من, باللغة السواحيلية

﴿واتل عليهم نبأ الذي آتيناه آياتنا فانسلخ منها فأتبعه الشيطان فكان من﴾ [الأعرَاف: 175]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na wasimulie,ewe Mtume, watu wako habari ya mwanamume mmoja miongoni mwa Wana wa Isrāīl, tuliyompa hoja zetu na dalili zetu, akajifunza hizo kisha akazikanusha na akazitupa nyuma ya mgongo wake, akashindwa na Shetani na akawa ni miongoni mwa wapotevu wenye kuangamia, kwa sababu ya kuenda kinyume kwake na amri ya Mola wake na kumtii kwake Shetani
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek