×

Na mkumbuke Mola Mlezi wako nafsini kwako kwa unyenyekevu na khofu, na 7:205 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-A‘raf ⮕ (7:205) ayat 205 in Swahili

7:205 Surah Al-A‘raf ayat 205 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-A‘raf ayat 205 - الأعرَاف - Page - Juz 9

﴿وَٱذۡكُر رَّبَّكَ فِي نَفۡسِكَ تَضَرُّعٗا وَخِيفَةٗ وَدُونَ ٱلۡجَهۡرِ مِنَ ٱلۡقَوۡلِ بِٱلۡغُدُوِّ وَٱلۡأٓصَالِ وَلَا تَكُن مِّنَ ٱلۡغَٰفِلِينَ ﴾
[الأعرَاف: 205]

Na mkumbuke Mola Mlezi wako nafsini kwako kwa unyenyekevu na khofu, na bila ya kupiga kelele kwa kauli, asubuhi na jioni. Wala usiwe miongoni wa walio ghafilika

❮ Previous Next ❯

ترجمة: واذكر ربك في نفسك تضرعا وخيفة ودون الجهر من القول بالغدو والآصال, باللغة السواحيلية

﴿واذكر ربك في نفسك تضرعا وخيفة ودون الجهر من القول بالغدو والآصال﴾ [الأعرَاف: 205]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na mtaje Mola wako, ewe Mtume, ndani ya nafsi yako kwa kumnyenyekea Mwenyezi Mungu na kumdhalilikia, hali ya kumcha Yeye moyoni, na umuombe kwa namna ya kati na kati baina ya kutoa sauti na kuifanya chini, katika mwanzo wa mchana na mwisho wake, na usiwe ni miongoni mwa wenye kughafilika kumtaja Mwenyezi Mungu na kupumbaa katika nyakati zao zinginezo
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek