×

Hakika wale walioko kwa Mola wako Mlezi hawajivuni wakaacha kumuabdu, na wanamtakasa 7:206 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-A‘raf ⮕ (7:206) ayat 206 in Swahili

7:206 Surah Al-A‘raf ayat 206 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-A‘raf ayat 206 - الأعرَاف - Page - Juz 9

﴿إِنَّ ٱلَّذِينَ عِندَ رَبِّكَ لَا يَسۡتَكۡبِرُونَ عَنۡ عِبَادَتِهِۦ وَيُسَبِّحُونَهُۥ وَلَهُۥ يَسۡجُدُونَۤ۩ ﴾
[الأعرَاف: 206]

Hakika wale walioko kwa Mola wako Mlezi hawajivuni wakaacha kumuabdu, na wanamtakasa na wanamsujudia

❮ Previous Next ❯

ترجمة: إن الذين عند ربك لا يستكبرون عن عبادته ويسبحونه وله يسجدون, باللغة السواحيلية

﴿إن الذين عند ربك لا يستكبرون عن عبادته ويسبحونه وله يسجدون﴾ [الأعرَاف: 206]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hakika wale waliyoko mbele ya Mola Wako miongoni mwa Malaika hawafanyi kiburi kwa kuacha kumuabudu Mwenyezi Mungu, bali wao wanaandama amri Zake, wanamtakasa mchana na usiku na wanamwepusha na mambo yasiyonasibiana na Yeye, na Yeye Peke Yake wanamsujudia
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek