×

Na hakika tulikuwa tukikaa humo katika baadhi ya makao ili kusikiliza; lakini 72:9 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Jinn ⮕ (72:9) ayat 9 in Swahili

72:9 Surah Al-Jinn ayat 9 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Jinn ayat 9 - الجِن - Page - Juz 29

﴿وَأَنَّا كُنَّا نَقۡعُدُ مِنۡهَا مَقَٰعِدَ لِلسَّمۡعِۖ فَمَن يَسۡتَمِعِ ٱلۡأٓنَ يَجِدۡ لَهُۥ شِهَابٗا رَّصَدٗا ﴾
[الجِن: 9]

Na hakika tulikuwa tukikaa humo katika baadhi ya makao ili kusikiliza; lakini sasa anaye taka kusikiliza atakuta kimondo kinamvizia

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وأنا كنا نقعد منها مقاعد للسمع فمن يستمع الآن يجد له شهابا, باللغة السواحيلية

﴿وأنا كنا نقعد منها مقاعد للسمع فمن يستمع الآن يجد له شهابا﴾ [الجِن: 9]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
«Na sisi tulikuwa kabla ya hapo tunakalia sehemu fulani za mbingu ili kusikiliza habari zake. Basi mwenye kujaribu sasa kusikiliza kwa kuiba atapata kimondo cha moto chenye kumngojea kimchome na kimuangamize.» Na katika aya mbili hizi pana kubatilisha madai ya wachawi na makuhani wanaodai kuwa wanajua ghaibu na kuwadanganya wachache wa akili kwa urongo wao na uzushi wao
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek