×

Mola wao Mlezi anawabashiria rehema zitokazo kwake, na radhi, na Bustani ambazo 9:21 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah At-Taubah ⮕ (9:21) ayat 21 in Swahili

9:21 Surah At-Taubah ayat 21 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah At-Taubah ayat 21 - التوبَة - Page - Juz 10

﴿يُبَشِّرُهُمۡ رَبُّهُم بِرَحۡمَةٖ مِّنۡهُ وَرِضۡوَٰنٖ وَجَنَّٰتٖ لَّهُمۡ فِيهَا نَعِيمٞ مُّقِيمٌ ﴾
[التوبَة: 21]

Mola wao Mlezi anawabashiria rehema zitokazo kwake, na radhi, na Bustani ambazo humo watapata neema za kudumu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: يبشرهم ربهم برحمة منه ورضوان وجنات لهم فيها نعيم مقيم, باللغة السواحيلية

﴿يبشرهم ربهم برحمة منه ورضوان وجنات لهم فيها نعيم مقيم﴾ [التوبَة: 21]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hakika Waumini hawa waliohama wana habari njema kutoka kwa Mola wao za rehema kunjufu na radhi ambayo hapatakuwa na hasira baada yake; na mwisho wao ni kwenda kwenye mabustani ya Pepo ya milele na neema zisizokoma
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek