×

Na hawezi mtu kuamini ila kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Naye hujaalia 10:100 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Yunus ⮕ (10:100) ayat 100 in Swahili

10:100 Surah Yunus ayat 100 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Yunus ayat 100 - يُونس - Page - Juz 11

﴿وَمَا كَانَ لِنَفۡسٍ أَن تُؤۡمِنَ إِلَّا بِإِذۡنِ ٱللَّهِۚ وَيَجۡعَلُ ٱلرِّجۡسَ عَلَى ٱلَّذِينَ لَا يَعۡقِلُونَ ﴾
[يُونس: 100]

Na hawezi mtu kuamini ila kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Naye hujaalia adhabu iwafike wasio tumia akili zao

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وما كان لنفس أن تؤمن إلا بإذن الله ويجعل الرجس على الذين, باللغة السواحيلية

﴿وما كان لنفس أن تؤمن إلا بإذن الله ويجعل الرجس على الذين﴾ [يُونس: 100]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Haikuwa nafsi yoyote ni yenye kumuamini Mwenyezi Mungu isipokuwa kwa idhini Yake na taufiki Yake. Basi usiisumbue nafsi yako katika hilo, kwani mambo yao yako kwa Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu Ataajaalia adhabu na hizaya kwa wale ambao hawayatii akilini maamrisho Yake na makatazo Yake
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek