×

Basi, je! Wanangojea jingine ila kama yaliyo tokea siku za watu walio 10:102 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Yunus ⮕ (10:102) ayat 102 in Swahili

10:102 Surah Yunus ayat 102 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Yunus ayat 102 - يُونس - Page - Juz 11

﴿فَهَلۡ يَنتَظِرُونَ إِلَّا مِثۡلَ أَيَّامِ ٱلَّذِينَ خَلَوۡاْ مِن قَبۡلِهِمۡۚ قُلۡ فَٱنتَظِرُوٓاْ إِنِّي مَعَكُم مِّنَ ٱلۡمُنتَظِرِينَ ﴾
[يُونس: 102]

Basi, je! Wanangojea jingine ila kama yaliyo tokea siku za watu walio pita kabla yao? Ngojeni! Nami ni pamoja nanyi katika wanao ngoja

❮ Previous Next ❯

ترجمة: فهل ينتظرون إلا مثل أيام الذين خلوا من قبلهم قل فانتظروا إني, باللغة السواحيلية

﴿فهل ينتظرون إلا مثل أيام الذين خلوا من قبلهم قل فانتظروا إني﴾ [يُونس: 102]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Je, hawa wanangojea isipokuwa hiyo siku watakapoishuhudia adhabu ya Mwenyezi Mungu mfano wa siku za wakale wao waliokanusha waliopita kabla yao? Sema, ewe Mtume, «Ingojeeni adhabu ya Mwenyezi Mungu; hakika mimi ni mwenye kuingojea pamoja na nyinyi kuteswa kwenu.»
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek