×

Na alama nyengine. Na kwa nyota wao wanajiongoza 16:16 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah An-Nahl ⮕ (16:16) ayat 16 in Swahili

16:16 Surah An-Nahl ayat 16 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah An-Nahl ayat 16 - النَّحل - Page - Juz 14

﴿وَعَلَٰمَٰتٖۚ وَبِٱلنَّجۡمِ هُمۡ يَهۡتَدُونَ ﴾
[النَّحل: 16]

Na alama nyengine. Na kwa nyota wao wanajiongoza

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وعلامات وبالنجم هم يهتدون, باللغة السواحيلية

﴿وعلامات وبالنجم هم يهتدون﴾ [النَّحل: 16]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na kwenye hiyo ardhi Ameweka alama ambazo kwa alama hizo mnajielekeza njia kipindi cha mchana, kama alivyoziweka nyota ili kujiongoza kwa nyota hizo kipindi cha usiku
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek