×

Na vyote viliomo katika mbingu na katika ardhi, tangu wanyama mpaka Malaika, 16:49 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah An-Nahl ⮕ (16:49) ayat 49 in Swahili

16:49 Surah An-Nahl ayat 49 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah An-Nahl ayat 49 - النَّحل - Page - Juz 14

﴿وَلِلَّهِۤ يَسۡجُدُۤ مَا فِي ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَمَا فِي ٱلۡأَرۡضِ مِن دَآبَّةٖ وَٱلۡمَلَٰٓئِكَةُ وَهُمۡ لَا يَسۡتَكۡبِرُونَ ﴾
[النَّحل: 49]

Na vyote viliomo katika mbingu na katika ardhi, tangu wanyama mpaka Malaika, vinamsujuidia Mwenyezi Mungu, na wala havitakabari

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ولله يسجد ما في السموات وما في الأرض من دابة والملائكة وهم, باللغة السواحيلية

﴿ولله يسجد ما في السموات وما في الأرض من دابة والملائكة وهم﴾ [النَّحل: 49]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na vinamsujudia Mwenyezi Mungu Peke Yake vyote vilivyo mbinguni na vilivyo ardhini, miongoni mwa vinavyotambaa. Na Malaika wanamsujudia Mwenyezi Mungu, na wao hawafanyi ujeuri kwa kukataa kumuabudu Yeye. Na Amewahusu Malaika kwa kuwataja baada ya kuwakusanya pamoja na viumbe wengine, kutokana na utukufu wao, ubora wao na wingi wa kuabudu kwao
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek