×

Na amka usiku kwa ibada; ni ziada ya sunna khasa kwako wewe. 17:79 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Isra’ ⮕ (17:79) ayat 79 in Swahili

17:79 Surah Al-Isra’ ayat 79 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Isra’ ayat 79 - الإسرَاء - Page - Juz 15

﴿وَمِنَ ٱلَّيۡلِ فَتَهَجَّدۡ بِهِۦ نَافِلَةٗ لَّكَ عَسَىٰٓ أَن يَبۡعَثَكَ رَبُّكَ مَقَامٗا مَّحۡمُودٗا ﴾
[الإسرَاء: 79]

Na amka usiku kwa ibada; ni ziada ya sunna khasa kwako wewe. Huenda Mola wako Mlezi akakunyanyua cheo kinacho sifika

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ومن الليل فتهجد به نافلة لك عسى أن يبعثك ربك مقاما محمودا, باللغة السواحيلية

﴿ومن الليل فتهجد به نافلة لك عسى أن يبعثك ربك مقاما محمودا﴾ [الإسرَاء: 79]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na inuka, ewe Nabii, kutoka kwenye usingizi sehemu ya usiku, usome Qur’ani katika Swala ya usiku, ipate kuwa, hiyo Swala ya usiku, ni nyongeza kwako katika utukufu wa cheo na kupandishiwa daraja. Huenda Mwenyezi Mungu Akakuleta uwe ni mwenye kuwashufaia watu Siku ya Kiyama, ili Mwenyezi Mungu Awarehemu kwa kuwaondolea waliokuwa nayo, na usimame kisimamo ambacho watakushukuru kwacho wa mwanzo na wa mwisho
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek