×

Wala msiseme kuwa wale walio uwawa katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni 2:154 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Baqarah ⮕ (2:154) ayat 154 in Swahili

2:154 Surah Al-Baqarah ayat 154 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Baqarah ayat 154 - البَقَرَة - Page - Juz 2

﴿وَلَا تَقُولُواْ لِمَن يُقۡتَلُ فِي سَبِيلِ ٱللَّهِ أَمۡوَٰتُۢۚ بَلۡ أَحۡيَآءٞ وَلَٰكِن لَّا تَشۡعُرُونَ ﴾
[البَقَرَة: 154]

Wala msiseme kuwa wale walio uwawa katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni maiti; bali hao ni wahai, lakini nyinyi hamtambui

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ولا تقولوا لمن يقتل في سبيل الله أموات بل أحياء ولكن لا, باللغة السواحيلية

﴿ولا تقولوا لمن يقتل في سبيل الله أموات بل أحياء ولكن لا﴾ [البَقَرَة: 154]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na wala msiseme, enyi Waumini, kuhusu wale wanaouawa hali ya kupigana jihadi katika njia ya Mwenyezi Mungu, kuwa wao wamekufa. Bali wao wako hai, uhai maalumu unaowahusu wao, ndani ya Makaburi yao. Wala hakuna anayejua yako vipi maisha hayo isipokuwa Mwenyezi Mungu Aliyetukuka, lakini nyinyi hamuyahisi maisha hayo. Katika haya, pana ushahidi kwamba kuna neema za kaburini
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek