×

Sisi tunajua zaidi watakayo yasema, atakapo sema mbora wao katika mwendo: Nyinyi 20:104 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Ta-Ha ⮕ (20:104) ayat 104 in Swahili

20:104 Surah Ta-Ha ayat 104 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Ta-Ha ayat 104 - طه - Page - Juz 16

﴿نَّحۡنُ أَعۡلَمُ بِمَا يَقُولُونَ إِذۡ يَقُولُ أَمۡثَلُهُمۡ طَرِيقَةً إِن لَّبِثۡتُمۡ إِلَّا يَوۡمٗا ﴾
[طه: 104]

Sisi tunajua zaidi watakayo yasema, atakapo sema mbora wao katika mwendo: Nyinyi hamkukaa ila siku moja tu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: نحن أعلم بما يقولون إذ يقول أمثلهم طريقة إن لبثتم إلا يوما, باللغة السواحيلية

﴿نحن أعلم بما يقولون إذ يقول أمثلهم طريقة إن لبثتم إلا يوما﴾ [طه: 104]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Sisi ni wajuzi zaidi kwa wanayoyasema na wanayoyaficha pindi anaposema mjuzi wao zaidi na mwenye akili nyingi miongoni mwao, «Hamkuishi isipokuwa siku moja,» kwa ufupi wa kipindi cha duniani watakaouhisi ndani ya nafsi zao Siku ya Kiyama
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek