×

Na walisema: Kwa nini hakutuletea muujiza kutoka kwa Mola wake Mlezi? Je! 20:133 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Ta-Ha ⮕ (20:133) ayat 133 in Swahili

20:133 Surah Ta-Ha ayat 133 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Ta-Ha ayat 133 - طه - Page - Juz 16

﴿وَقَالُواْ لَوۡلَا يَأۡتِينَا بِـَٔايَةٖ مِّن رَّبِّهِۦٓۚ أَوَلَمۡ تَأۡتِهِم بَيِّنَةُ مَا فِي ٱلصُّحُفِ ٱلۡأُولَىٰ ﴾
[طه: 133]

Na walisema: Kwa nini hakutuletea muujiza kutoka kwa Mola wake Mlezi? Je! Haikuwafikilia dalili wazi ya yaliyomo katika Vitabu vya kale

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وقالوا لولا يأتينا بآية من ربه أو لم تأتهم بينة ما في, باللغة السواحيلية

﴿وقالوا لولا يأتينا بآية من ربه أو لم تأتهم بينة ما في﴾ [طه: 133]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na walisema wenye kukukanusha, ewe Mtume, «Basi si utuletee alama itokayo kwa Mola wako yenye kuonesha ukweli wako?» Kwani hikuwajia hii Qur’ani yenye kuisadukisha haki iliyomo kwenye Vitabu vilivyopita?»
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek