Quran with Swahili translation - Surah Ta-Ha ayat 62 - طه - Page - Juz 16
﴿فَتَنَٰزَعُوٓاْ أَمۡرَهُم بَيۡنَهُمۡ وَأَسَرُّواْ ٱلنَّجۡوَىٰ ﴾
[طه: 62]
﴿فتنازعوا أمرهم بينهم وأسروا النجوى﴾ [طه: 62]
Abdullah Muhammad Abu Bakr Hapo wachawi walivutana na wakizungumza kwa siri kuhusu mambo yao. Walisema, «Kwa kweli, Mūsā na Hārūn ni wachawi |