×

Na hakika Mimi ni Mwingi wa Kusamehe kwa anaye tubia, na akaamini, 20:82 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Ta-Ha ⮕ (20:82) ayat 82 in Swahili

20:82 Surah Ta-Ha ayat 82 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Ta-Ha ayat 82 - طه - Page - Juz 16

﴿وَإِنِّي لَغَفَّارٞ لِّمَن تَابَ وَءَامَنَ وَعَمِلَ صَٰلِحٗا ثُمَّ ٱهۡتَدَىٰ ﴾
[طه: 82]

Na hakika Mimi ni Mwingi wa Kusamehe kwa anaye tubia, na akaamini, na akatenda mema, tena akaongoka

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وإني لغفار لمن تاب وآمن وعمل صالحا ثم اهتدى, باللغة السواحيلية

﴿وإني لغفار لمن تاب وآمن وعمل صالحا ثم اهتدى﴾ [طه: 82]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na mimi ni Mwingi wa kusamehe kwa anayetubia kutokana na dhambi zake na ukanushaji wake, akaniamini mimi na akafanya matendo mema kisha akaongoka kufuata njia ya ukweli na akasimama imara juu yake
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek