×

Na miji mingapi niliipa muda na hali ilikuwa imedhulumu, na kisha nikaitia 22:48 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-hajj ⮕ (22:48) ayat 48 in Swahili

22:48 Surah Al-hajj ayat 48 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-hajj ayat 48 - الحج - Page - Juz 17

﴿وَكَأَيِّن مِّن قَرۡيَةٍ أَمۡلَيۡتُ لَهَا وَهِيَ ظَالِمَةٞ ثُمَّ أَخَذۡتُهَا وَإِلَيَّ ٱلۡمَصِيرُ ﴾
[الحج: 48]

Na miji mingapi niliipa muda na hali ilikuwa imedhulumu, na kisha nikaitia mkononi? Na kwangu Mimi ndio marudio yote

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وكأين من قرية أمليت لها وهي ظالمة ثم أخذتها وإلي المصير, باللغة السواحيلية

﴿وكأين من قرية أمليت لها وهي ظالمة ثم أخذتها وإلي المصير﴾ [الحج: 48]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Kuna miji mingi ilikuwa kwenye udhalimu, kwa ukakamavu wa watu wake juu ya ukafiri, nikawapa muda , na sikuwaharakishia adhabu na kwa hivyo wakaghurika, kisha nikawachukuwa kwa kuwaadhibu katika hii dunia, na ni kwangu ndio marejeo yao baada ya kuangamia kwao nitawapa adhabu wanayostahili
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek