×

Ni vyake viliomo mbinguni na viliomo katika ardhi. Na hakika Mwenyezi Mungu 22:64 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-hajj ⮕ (22:64) ayat 64 in Swahili

22:64 Surah Al-hajj ayat 64 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-hajj ayat 64 - الحج - Page - Juz 17

﴿لَّهُۥ مَا فِي ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَمَا فِي ٱلۡأَرۡضِۚ وَإِنَّ ٱللَّهَ لَهُوَ ٱلۡغَنِيُّ ٱلۡحَمِيدُ ﴾
[الحج: 64]

Ni vyake viliomo mbinguni na viliomo katika ardhi. Na hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujitosha na Mwenye kusifiwa

❮ Previous Next ❯

ترجمة: له ما في السموات وما في الأرض وإن الله لهو الغني الحميد, باللغة السواحيلية

﴿له ما في السموات وما في الأرض وإن الله لهو الغني الحميد﴾ [الحج: 64]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Ni vya Mwenyezi Mungu, kutakata na sifa za upungufu ni Kwake na kutukuka ni Kwake, vilivyoko ardhini na mbinguni, kwa kuviumba, kuvimiliki na kuwa chini ya usimamizi wake, kila kimoja kati ya hizo kinahitajia uendeshaji Wake na maneemesho Yake. Na hakika Mwenyezi Mungu Ndie Aliye Mkwasi ambaye Hahitajii kitu chochote, Anayeshukuriwa kwa kila namna
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek